Dhibiti Minyoo na ALBENOR 1ltr

Sh 10,000

  • Flash Sale

Dhibiti Minyoo na ALBENOR,  ni dawa yenye wigo mpana wa kudhibiti vimelea (parasites) kwa ufanisi mkubwa. Inafanya kazi kwa kuua na kuzuia aina mbalimbali za minyoo na vimelea vinavyosababisha magonjwa kwa mifugo.

Faida kuu za ALBENOR 1Ltr:

  • Huzuia na kuua minyoo aina ya nematodes (roundworms).

  • Hufanya kazi dhidi ya minyoo aina ya fluke (flatworms).

  • Inadhibiti na kuua vimelea vilivyokomaa na vichanga kwa ufanisi mkubwa.

  • Huzuia pia mayai ya vimelea kuendelea kukua na kusababisha maambukizi mapya.

  • Inasaidia mifugo kuwa na afya bora, ukuaji mzuri, na uzalishaji wa juu.

Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi kupitia namba yetu. +255 698 157 458

Customer Reviews (0)

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Dhibiti Minyoo na ALBENOR 1ltr”

Your email address will not be published. Required fields are marked *